Wema Sepetu Kuja na Event Ya Mwaka ‘Birthday Bash’ - NOA Swahili

Mobile Menu

Posts Title Display

Top Ads

Responsive Leaderboard Ad Area with adjustable height and width.

More News

logoblog

Wema Sepetu Kuja na Event Ya Mwaka ‘Birthday Bash’

Sep 15, 2018
Wema Sepetu Kuja na Event Ya Mwaka ‘Birthday Bash’

Muigizaji wa Bongo movie mrembo Wema Sepetu amefunguka na kutangaza shughuli yake ambayo ameitangaza kama ‘Birthday Bash’ itakayofanyika tarehe 28 Septemba.
Wema ametangaza kuwa  tiketi za ‘Birthday Gala’ zitaanza kuuzwa rasmi kuanzia kesho (Jumamosi) huku bei elekezi zikiwa ni 50000 kwa tiketi moja na kwa meza ya watu 10 ikiwa ni tsh 500,000.
Mrembo huyo atafanya matukio mawili kwa pamoja, uzinduzi wa filamu yake mpya ‘Dad’ alioshirikiana na Van Vicker kutoka Nigeria pamoja na kusherekea birthday yake ambayo ameiita Bithday Gala.

No comments:

Post a Comment