Msanii wa bongo movies Steve nyerere ameshindw kuvumlia kile kinachoendelea katika mitandao hasa baada ya taifa kukumbwa na mziba mzito wa mkurugenzi wa clouds media , bwana Ruge mutahaba huku msanii dudubaya akikaejeli kifo chake.
Dudu baya ambae alianza tangu awali kupinga kampeni za kumsaidia Ruge kwa ajili ya pesa za matibabu , amekuwa akiongea maneno ya kuvunja moyo kwa watu hasa wanaombeleza kwa sasa kutokana na msiba huo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment