Msafara wa Waziri Makamba wasimamishwa njiani Wilayani Makete, ajibu maswali ya Wananchi - NOA Swahili

Mobile Menu

Posts Title Display

Top Ads

Responsive Leaderboard Ad Area with adjustable height and width.

More News

logoblog

Msafara wa Waziri Makamba wasimamishwa njiani Wilayani Makete, ajibu maswali ya Wananchi

Jul 30, 2022

Wananchi wa kijiji cha Bulongwa kilichopo wilaya ya Makete Mkoani Njombe wamelazimika kusimamisha msafara wa Waziri wa nishati Januari Makamba kwa lengo la kupewa ufafanuzi juu ya kuanza kwa mradi wa umeme wa maji wa Rumakali ulioanza usanifu tangu mwaka 1998.



No comments:

Post a Comment