Muigizaji wa Bongo movie Mrembo Wema Sepetu amejikuta katika upande mbaya wa sheria za nchi baada ya kuvujisha picha zake za faragha alizokuwa na mpenzi wake PCK.
Pamoja na kuomba radhi siku ya jana kuhusiana na picha hizo chafu Kwenye mitandao ya kijamii lakini tayari BASATA wameamua kumchukilia hatua kali Wema pamoja na wasanii wote walioachia picha chafu.

No comments:
Post a Comment