Wema Achukuliwa Hatua Kali na BASATA Baada Ya Kuvujisha Picha Chafu - NOA Swahili

Mobile Menu

Posts Title Display

Top Ads

Responsive Leaderboard Ad Area with adjustable height and width.

More News

logoblog

Wema Achukuliwa Hatua Kali na BASATA Baada Ya Kuvujisha Picha Chafu

Oct 26, 2018




Muigizaji wa Bongo movie Mrembo Wema Sepetu amejikuta katika upande mbaya wa sheria za nchi baada ya kuvujisha picha zake za faragha alizokuwa na mpenzi wake PCK.
Pamoja na kuomba radhi siku ya jana kuhusiana na picha hizo chafu Kwenye mitandao ya kijamii lakini tayari BASATA wameamua kumchukilia hatua kali Wema pamoja na wasanii wote walioachia picha chafu.

No comments:

Post a Comment