Mambo kumi na tano aliyozungumza Zitto Kabwe leo - NOA Swahili

Mobile Menu

Posts Title Display

Top Ads

Responsive Leaderboard Ad Area with adjustable height and width.

More News

logoblog

Mambo kumi na tano aliyozungumza Zitto Kabwe leo

Mar 26, 2019




Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe leo March 26, 2019 amezungumza na Waandishi wa Habari juu ya kinachoendelea baina yao na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa alietangaza kutaka kukifuta Chama hicho.
Nimekusogezea mambo kumi na tano aliyozungumza Zitto Kabwe na Waandishi wa Habari katika Ofisi za ACT Wazalendo.

No comments:

Post a Comment