Kariakoo kufungwa CCTV Camera - NOA Swahili

Mobile Menu

Posts Title Display

Top Ads

Responsive Leaderboard Ad Area with adjustable height and width.

More News

logoblog

Kariakoo kufungwa CCTV Camera

Nov 25, 2021

Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Omary Kumbilamoto, amesema kuwa bajeti ya Jiji itakayopitishwa kwa mwezi Desemba, watahakikisha wanapambana kuingiza bajeti ya kununua CCTV camera na taa zitakazofungwa katika soko la Kariakoo ili liwe eneo salama zaidi kwa wafanyabiashara.


Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 25, 2021, wakati akizungumza kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio.


"Lengo letu ni kuifanya Kariakoo watu wafanye kazi saa 24 yaani usiku na mchana,", amesema Meya Kumbilamoto

No comments:

Post a Comment