Rich Mavoko Afungukia Mahusiano Yake na Lulu Diva na Mipango Ya Ndoa - NOA Swahili

Mobile Menu

Posts Title Display

Top Ads

Responsive Leaderboard Ad Area with adjustable height and width.

More News

logoblog

Rich Mavoko Afungukia Mahusiano Yake na Lulu Diva na Mipango Ya Ndoa

Oct 26, 2018

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Richard Martin maarufu kwa Jina la usanii kama ‘Rich Mavoko’ amefunguka na kuweka wazi kuhusiana na tetesi za Mahusiano Yake na Lulu Diva.
Kunekuwa na tetesi za muda mrefu kuwa Rich Mavoko na Msanii mwenzake Lulu Diva wapo Kwenye Mahusiano ingawa wamekuwa wakikataa mara kwa mara lakini bado tetesi hizo zimekuwa zikiwaandama.

No comments:

Post a Comment