
Ni siku kadhaa zimepita tangu Hamisa alipatwa na skendo ya kumloga Diamond na kuvuja kwa sauti za Hamisa akiongea na waganga ili waweze kumtengeneza Diamond ili aweze kuijali familia yake na kumjengea nyumba.
Diamond alilalamika sana kuhusu swala hilo na baada ya hapo Hamisa alikiri kuwa ni kweli sauti ilikuwa ni ya kwake lakini hakuwa anamloga bali alikuwa anaongea na shekhe na kumuelezea matatizo ya mahusiano yake ili aweze kufanyiwa dua.
Ilo ni tatizo kwake
ReplyDelete